The plan of salvation
Karibuni watanzania wenzangu kwenye hii blog yetu itakayokuwa inawaletea mambo mbalimbali yanayotokea katika jamii yetu tuta toa maoni mbalimbali kuhusiana na mada tofauti zitakazokua zimejitokeza pamoja na ushauri tutapashana habari mbalimbali kuhusu jamii yetu karibuni sana!
Monday, February 13, 2012
ROCK CITY NATIVE
Mji wa mwanza unaoendelea kukua kwa kasi kubwa na wakazi wengi wakiongezeka kutoka mikoa mbalimbali kwaajili ya shuguli za uvuvi wa samaki pamoja na shuguli nyingine za kibiashara
Sunday, February 12, 2012
MBUGA ZA WANYAMA NA FAIDA ZAKE
Je? ni jinsigani tunanufaika na mbuga za wanyama au ifadhi zetu za taifa? nini kifanyike ili tuweze kunufaika na ifadhi za taifa? majangiri wanapunguza idadi ya wanyama waishio polini kwa kuwawinda na kuwauwa ili waweze kujipatia kipato sio jambo zuri kuingia katika ifadhi za wanyamapoli na kuwunda bila kibali nivizuri tukawatunza wanyama wetu ili baadaye watuletee faida kubwa kwa taifa letu
MATATIZO YA MGAO WA UMEME
Kutokana na kuwepo kwa matatizo mbalimbali ya kukatika ovyo kwa umeme pasipokua na mpangilio uliomahalumu watanzania walio wengi wamejitokeza kulalamikia kuhusu tatizo la mgao wa umeme linaloendelea baadhi ya mikoa ikiwemo mwanza bila ya kujua chanzo ni nini na bilakupewa taarifa yoyote ama ratiba ya mgao uwo ukizingatia sikuchache zilizopita tanesco ilitangaza kupanda kwa gharama za umeme chaajabu nikwamba gharama zimepanda lakini uboreshaji wa miundombinu bado ni dhaifu ndokama hivyo umeme kuanzia asubui mpaka jioni aupo je? tufanyeje?
Subscribe to:
Posts (Atom)