Sunday, February 12, 2012

MBUGA ZA WANYAMA NA FAIDA ZAKE

Je? ni jinsigani tunanufaika na mbuga za wanyama au ifadhi zetu za taifa? nini kifanyike ili tuweze kunufaika na ifadhi za taifa? majangiri wanapunguza idadi ya wanyama waishio polini kwa kuwawinda na kuwauwa ili waweze kujipatia kipato sio jambo zuri kuingia katika ifadhi za wanyamapoli na kuwunda bila kibali nivizuri tukawatunza wanyama wetu ili baadaye watuletee faida kubwa kwa taifa letu

No comments:

Post a Comment